Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kukosa Tuzo BET Awards 2021,Wazungu Wamgombania
69 ভিউ
WorldViralMedia
06/30/21
CEO wa WCB #Wasafi Amefunguka kwa mara ya Kwanza baada ya Kukosa Tuzo ya BET Awards 2021,Diamond Amewashukuru Watanzania Kwa Sapoti Waliomuonyesha Pia Amejivunia Ushiriki wa Taifa lake Kwenye Tuzo hizo za #BETAwards #Diamondplatnumz Alikua Anawania Tuzo hiZo Kwenye Kipengele Cha The Best International Act
-
শ্রেণী
আরো দেখুন
ফেসবুক মন্তব্য
কোন মন্তব্য পাওয়া যায়নি