watermark logo

Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kukosa Tuzo BET Awards 2021,Wazungu Wamgombania

69 Bekeken
WorldViralMedia

CEO wa WCB #Wasafi Amefunguka kwa mara ya Kwanza baada ya Kukosa Tuzo ya BET Awards 2021,Diamond Amewashukuru Watanzania Kwa Sapoti Waliomuonyesha Pia Amejivunia Ushiriki wa Taifa lake Kwenye Tuzo hizo za #BETAwards #Diamondplatnumz Alikua Anawania Tuzo hiZo Kwenye Kipengele Cha The Best International Act

Laat meer zien

0 Comments Sorteer op

Geen reacties gevonden

Facebook Reacties

Volgende