Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kukosa Tuzo BET Awards 2021,Wazungu Wamgombania
69 Lượt xem
WorldViralMedia
06/30/21
CEO wa WCB #Wasafi Amefunguka kwa mara ya Kwanza baada ya Kukosa Tuzo ya BET Awards 2021,Diamond Amewashukuru Watanzania Kwa Sapoti Waliomuonyesha Pia Amejivunia Ushiriki wa Taifa lake Kwenye Tuzo hizo za #BETAwards #Diamondplatnumz Alikua Anawania Tuzo hiZo Kwenye Kipengele Cha The Best International Act
-
Loại
Cho xem nhiều hơn
Bình luận trên Facebook
Không có bình luận nào được tìm thấy