Diamond Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kukosa Tuzo BET Awards 2021,Wazungu Wamgombania
69 Mga view
WorldViralMedia
06/30/21
CEO wa WCB #Wasafi Amefunguka kwa mara ya Kwanza baada ya Kukosa Tuzo ya BET Awards 2021,Diamond Amewashukuru Watanzania Kwa Sapoti Waliomuonyesha Pia Amejivunia Ushiriki wa Taifa lake Kwenye Tuzo hizo za #BETAwards #Diamondplatnumz Alikua Anawania Tuzo hiZo Kwenye Kipengele Cha The Best International Act
-
Kategorya
Magpakita ng higit pa
Mga Komento sa Facebook
Walang nakitang komento